Wednesday, June 20, 2012

Wakazi wa Ubungo mpo tayari?????????????????? njoo upate mwangaza juu ya katiba ya nchi yetu iliyopo ili uwezeshiriki kikamilifu katika marekebisho ya katiba


Alice Foundation inakukaribisha Tarehe 24 juni 2012 katika viwanja vya sanaa sinza legho jijini Dar-es salaam.tutakuwa na  wageni kutoka nchi ya Marekani ambao wataambatana na viongozi kutoka Ubalozi wa Marekani tunatarajia kuwa na ugeni wa watu 100 na wananchi 900 wakazi wa Kata ya  Ubungo, Ubalozi wa Marekani wanatuletea Navy band- bendi ya kikosi cha jeshi la maji, pia watatumia fursa hiyo kutupatia mipira ya kikapu ambayo tulikuwa tumeomba ubalozini hapo mapema mwaka huu.


Pamoja na ugeni huo lengo letu hasa ni kutoa elimu ya Afya na mazingira kwa watoto wanaoishi mazingira magumu na hatarishi pamoja na walezi wao. Hivyo tutakuwa na michezo mbalimbali, na tutakuwa na zoezi la kupima VVU kwa hiari. ambalo  litafanyika bure kwa wananchi wote. Na kufanya ufunguzi rasmi wa mafunzo ya Elimu ya  katiba iliyopo ili wananchi wa kata ya Ubungo  waweze kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni juu ya katiba mpya.

Friday, April 13, 2012

women of courage Award 2012-Joaquine De-Mello atunukiwa Tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania 2012

Ofisa wa Mambo ya Nje wa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, Dana Banks akizungumza wakati wa hafla ya kumtunuku Tuzo ya Mwanamke Jasiri Tanzania 2012, Bi. Joaquine De-Mello iliyofanyika katika ubalozi huo jijini Dar es Salaam leo Machi 29.12. De-Mello ni Mwanasheria Kitaaluma na amekuwa Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora tangu Mwaka 2008. Aidha Ubalozi wa Marekani hapa Nchini umeamua kumtunuku tuzo hiyo kutokana na juhudi zake za kutetea Haki za Wanawake hapa nchini. PICHA ZOTE/JOHN BADI

De-Mello akiwa katika picha ya pamoja na Robert Scott na Dana Banks
Mwanzilishi na Mwenyekiti wa Alice Foundation ambaye pia ni Mkurugenzi wa Alice Fashion World, Alice James Dosi akikabidhi zawadi ya maua kwa De-Mello kama ishara ya kumpongeza. 

Wednesday, April 11, 2012

celebrity gossip!!!!

This is what happened katika msiba wa Kanumba!!!!

Saturday, April 7, 2012

The truth about Steve Kanumba's death!!!!!

If tears could build a stairway,
And memories a lane,
I'd walk right up to Heaven
And bring you home again................


Our thoughts and prayers are with you Steven Kanumba.



For tears may last all night
But joy comes in the morning
So let him grieve throughout the night
For a new day will be dawning.
R.I.P  Kanumba  Steven.

Friday, April 6, 2012

1st anniversary !

ONE YEAR BLOG ANNIVERSARY

alicefasionworld.blogspot.com
is One Year Old This month!
 
And I want to Thank All My Fabulous Fans,Followers & Supporters from all around the world for sharing their Love of Fashion,  & My Blog!!

It's been wonderful getting to know some of you & I hope to hear from many more inspiring minds going forward. So feel free to comment & let me know what you think.
And Stay Tuned. I'm thinking it's about time to have my first Giveaway.

Tuesday, March 20, 2012

Enterprising Lady Gives Back to Society- Daily News 19th March 2012

Tanzania: Enterprising Lady Gives Back to Society

ALICE Dosi Mwamsojo is a woman with a vision, a mission and compassion for Tanzanian souls. Her dream is to help the poor and people without hope for a better future.
The 30-year old lady is the brain behind Alice Foundation, a non-government organization with an overall objective of improving social and economic advancement of street children in Tanzania, by increasing access to education. The foundation has also the task to cater for maternal matters, newborns health and sexual reproductive health services related to HIV and AIDS. "Alice Foundation is not here to compete but to work with other NGOs that serve the interests of women and children.
The Foundation has a strategic plan to make significant contributions to Tanzanian women and their families through working closely with the government and donors," Ms Mwamsojo explains. At first, the foundation targeted street children. However, with other board members, she changed their mind. Alice, who lives and runs her business and her foundation in Ubungo, says she grew up with sympathy for street children she saw.
"Our foundation started with Ubungo ward because the area is filled with street children, I think it's due to Ubungo Terminal Bus Station. I got a thought that if I wanted to make a change for the poor souls, I should start at home," she says. It all started late 2010, Alice, a social worker graduate and a former sales and market manager, Ms Mwamsojo left her job at the Syscorp, and opened her Alice Fashion World boutique where she sells and rent wedding dresses, maid of honour/maids dresses and caters for wedding and provide a rental car services.
"My boutique is a place where a bride would want to be. We provide all sorts of services," she explains. Within one year, her business boomed. Despite the little profit she earned, she decided to give back to the community. "I have been a volunteer for long. So when my business became successful I thought more about a better way to give to the community than start my own foundation."
The foundation was established in 2011, has 10 members and seven volunteers. The organization operates through four main programmes namely: MKUKUTA (National Poverty Reduction Framework), Women Empowerment, Health and Environment and Educating street children. "We have different projects such as the women empowerment program which has 28 groups of different women.
We also pay school fees for 11 children, and in a week we do a visitation to 276 children, who are underprivileged," The foundation isn't a year old yet, but has done a lot without a sponsor. "We don't have a sponsor. Sources of revenue for Alice Foundation come from a small stationery station where we provide services like 3-minutes express passport size photographs, photocopy and scanning.
These have helped us to run the office, get lunch money, transportation fee and manage administrative cost." A mother, a wife and a businesswoman, Alice is still trying to master her time. She says some day she will be the best chairperson of Alice Foundation.
"I spend a lot of time working as the Managing Director of Alice Fashion World, a chairperson of Alice Foundation and a designer. Being a blogger, a wife and a mother is not easy because there are times I stay off work to have time with my husband and my baby," she confesses.
Alice's vision is to increase the number of economically empowered women, progressive communities with well educated children free from ignorance, disease and poverty. It looks like her mission is giving her that. On March 8, this year the Alice Foundation launched a campaign to stop violence against women. The guest of honor was Ubungo Member of Parliament John Mnyika.
Alice says, apart from funds, the only challenge they face is a lack of commodious office. They need a bigger office, office tools such as a computer for storing their data. The future is bright for Alice Foundation. In the near future Alice says they are thinking of opening a bank to give women security with their money, and where they get a quick loan, a children's campaign that will help raise awareness on HIV/AIDS in an earlier stage.
Her message to people is: "People who search for happiness think that money and fame will make their life perfect, that is not true at all. You have to be thankful for everything you know and own. Just remind yourself that someone in the world has never even had the privilege you have.
"There is somebody always better than you and always somebody less fortunate than you. Until you find a middle ground and accept what you have, you will not have happiness. Together we can eradicate poverty in our nation. Together we can do this".

Monday, March 19, 2012

Today's Daily News talks about Alice on page 11

http://dailynews.co.tz/index.php/features/popular-features/3103-enterprising-lady-gives-back-to-society


Friday, March 9, 2012

"STOP Gender Based Violence "Mrs. Alice Dosi Mwamsojo akizindua rasmi kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kampeni iliyoandaliwa na na NGO ya ALICE FOUNDATION 8 machi 2012 siku ya wanawake Duniani viwanja vya sanaa, jijini Dar-es-salaam.Mgeni rasmi alikuwa MH John Mnyika Mbunge Jimbo la UBUNGO.

Mrs. Alice Dosi Mwamsojo akizindua rasmi  kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kampeni iliyoandaliwa na na NGO ya ALICE FOUNDATION  8 machi 2012 viwanja vya sanaa, jijini Dar-es-salaam.Mgeni rasmi alikuwa MH John Mnyika Mbunge Jimbo la UBUNGO.

wamama wakishukuru kwa mafunzo waliyopata katika uzinduzi  rasmi wa  kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kampeni iliyoandaliwa na na NGO ya ALICE FOUNDATION  8 machi 2012 viwanja vya sanaa, jijini Dar-es-salaam.Mgeni rasmi alikuwa MH John Mnyika Mbunge Jimbo la UBUNGO

(Alice)Mwenyekiti wa Alice Foundation  na mratibu wa miradi (Kwame)Kulia wakimkabidhi Mgeni Rasmi  (katikati)Tshirt katika uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kampeni iliyoandaliwa na na NGO ya ALICE FOUNDATION  8 machi 2012 viwanja vya sanaa, jijini Dar-es-salaam.
Alice Dosi Mwamsojo mwenyekiti wa Alice Foundation akimwelekeza jambo MH. John Mnyika wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kupiga vita unyanyasaji wa kijinsia kampeni iliyoandaliwa na na NGO ya ALICE FOUNDATION  8 machi 2012 viwanja vya sanaa, jijini Dar-es-salaam.

Monday, March 5, 2012

SAy NO to Gender Based Violence Celebrate women's day in style on 8th march 2012 . Alice Foundation Invites all women around the world to join us celebrate and Campain against GENDER BASED VIOLANCE

Utakaa kimya mpaka lini???




Violence against women both violates and impairs or nullifies the enjoyment by women of their human rights and fundamental freedoms... In all societies, to a greater or lesser degree, women and girls are subjected to physical, sexual and psychological abuse that cuts across lines of income, class and culture."
—Beijing Declaration and Platform for Action, paragraph 112


FACTS:Around the world, as many as one in every three women has been beaten, coerced into sex, or abused in some other way - most often by someone she knows, including by her husband or another male family member; one woman in four has been abused during pregnancy.

"TUMECHOKA UNYANYASAJI WA KIJINSIA"
come Let us celebrate Women's day in style

Alice Foundation Invites all women around the world to join us celebrate and Campain against GENDER BASED VIOLANCE
on 8th march 2012 Starting From 8:00 am 
FREE entrance, Drinks and Bites to be Served.
Venue: Kinesi grounds Sinza Legho near Alice Foundation Office.
Dress Code: White 
mwalike na jirani yako anaye nyanyaswa aje apate ushauri wa kisheria. Hakika maisha yako yatabadilika.......
"PIGA VITA UNYANYASAJI WA KIJINSIA"