Saturday, February 25, 2012

Alice Foundation katika mkutano na wananchi wa kata ya Ubungo juu ya police jamii na ulinzi shirikishi

wakazi  na wafanyabiashara wa ubungo wakipata mafunzo ya ulinzi shirikishi na polisi jamii
 ACP KIYONDO akimwakilisha  Kamanda wa kanda maalum ya Dar-es-salaam Mh. Selemani KOVA alitoa mafunzo kwa wananchi wa ubungo juu ya ulinzi shirikishi

ACP KIYONDO akitoa mafunzo kwa wananchi wa ubungo juu ya ulinzi shirikishi
mwenyekiti wa ALICE FOUNDATION Mrs. A Dosi Mwamsojo akimweleza jambo mkuu wa kituo cha polisi Urafiki SP. Cosmas papalika na kushoto ni Mr. chillo Bunto volunteer wa ALICE FOUNDATION
ACP KIYONDO na mwenyekiti wa Alice Foundation katika mkutano wa ulinzi shirikishi na polisi jamii kata ya Ubungo viwanja vya sanaa Legho ACP KIYONDO akimwakilisha  Kamanda wa kanda maalum ya Dar-es-salaam Mh. Selemani KOVAalitoa mafunzo kwa wananchi wa ubungo juu ya ulinzi shirikishi
wakazi  na wafanyabiashara wa ubungo wakipata mafunzo ya ulinzi shirikishi na polisi jamii. mgeni rasmi alikuwa ni kamishina msaidizi Selemani Kova kamanda wa kanda maalum ya Dar-es-salaam