Thursday, March 31, 2011

 Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa jana alliance france .... hongera sana Salim kwa kazi nzuri







Mtoko Designs ime launch Khaka Mens wear Jana, Alliance France. Hongera sana Salim kwa kazi nzuri...!!!!

Khanga ni vazi lenye historia ndefu kwa mtanzania, na khanga ni vazi pekee ambalo lipo kwetu sisi watanzania na tunalitumia katika shughuli zetu za kila siku kuanzia tunapozaliwa hadi kufariki. lakini vazi hili limepoteza thamani yake hasa kwa sisi vijana na ndo maana nkaamua kuitambulisha kwenu KHAKA shirts ilikuleta msisimko zaidi wa vazi la khanga hasa kwa vijana.